Haya hapa magoli yote matano ya Simba ikiitandika Mbao FC 5-0 (26/02/2018)

  • 6 years ago
Simba imeicharaza Mbao FC jumla ya mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo katika dimba la Taifa Dar es Salaam.

Magoli yote a Simba katika mchezo wa leo, haya hapa, wafungaji wakiwa ni Shiza Kichuya, Emmanuel Okwi mabao mawili, Nicholas Gyan na Erasto Nyoni.

Recommended