Koome Ashikilia Kuwa Ufisadi Umeadhiri Hudma Kwa Wakenya Mahakamani

  • 3 years ago
Jaji Mkuu Martha Koome Sasa Ameshikilia Kuwa Ufisadi Umeathiri Huduma Kwa Wakenya Na Kuwalazimu Kusubiria Mikaka Kadhaa Kabla Ya Kesi Zao Kusikilizwa Na Kuamuliwa. Akizungumza Kaunti Ya Mombasa Masaa 24 Kabla Ya Kuongoza Mahakama Ya Upeo Kusikiliza Kesi Ya Bbi, Koome Amewaelekeza Majaji Kusikiliza Na Kuamua Kesi Za Zamani.

Recommended