Tumepokea Taarifa Hii Nzito ,Rais Magufuli katoa Maneno haya baada ya kukutana na Bosi wa Benki

  • 6 years ago
Rais Dk John Magufuli leo amekutana na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia hapa nchini, Bella Bird na kuzungumza nae kuhusu maendeleo ya miradi inayofadhiliwa na benki hiyo.

Recommended